Saturday, July 9, 2011

WANAHARAKATI MPO...?!!

Katika hali ambayo kwa kweli sio ya kawaida kuonekana, mzee mmoja akimtumia mlemavu kubeba taka hapo Kimathi Lane jijini Nairobi, Kenya. Katika hili wanaharakati mna kazi..!!

Mshkaji baada ya kupakia mzigo wa taka.... anasepa taratibu.....Nadhani angelikuwa na uwezo wa kuchongesha tolori..asingelimtumia mlemavu huyo na baiskeli yake....

No comments: