Wednesday, July 13, 2011

Rostam ajiuzulu nyadhifa CCM

 Aliyekuwa Mbunge wa Bukoba Vijijini na waziri wa nishati na madini Nazir Karamagi akijadiliana jambo na aliyekuwa Mbunge wa Igunga Rostam Aziz wakati wa mapumziko kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Juni 11, 2008.
Aliyekuwa Mbunge wa Igunga Rostam Aziz akiwa amejiinamia ndani ya ukumbi wa bunge wakati Rais Jakaya Kikwete akilihutubia bunge mjini Dodoma Agosti 21, 2008. Wakati wa hotuba hiyo, Rostam alikaa kwa staili hiyo tangu mwanzo hadi mwisho wa hotuba hiyo. 

Mbunge wa CCM, viti maalum Kingunge Ngombale Mwiru (kulia) na jimbo la Igunga Rostam Aziz
wakiwa katika mkutano wa mashauriano baina ya wajumbe wa NEC na wabunge wa CCM uliofanyika mjini Dodoma Juni 15, 2008, chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho Rais Jakaya Kikwete.

No comments: