Friday, July 22, 2011

Wandugu je hii ni hasara au ndo kampeni...??!!!

Rais Mwai Kibaki akiwasha moto meno ya tembo Jumatano Julai 20 mwaka huu katika Hifadhi ya Taifa ya Tsavo nchini Kenya, ikiwa ni jitihada za kupiga vita uwindaji haramu barani Afrika. Photo/LABAN WALLOGA/NATION
Moto ukikolea ukiteketeza meno ya tembo yaliyokamatwa sehemu mbalimbali. AFP PHOTO/Tony KARUMBA 

No comments: