Sunday, November 6, 2011

Mahafali ya Nne ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE)




Baadhi ya wahitimu wa Shahada ya Kwanza katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Dar es Salaam cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakifuatilia hotuba mbalimbali wakati wa mahafali ya Nne ya chuo hicho yaliyofanyika Jumamosi (Novemba 5) jijini Dar es Salaam ambapo wahitimu 786 walitunukiwa Shahada zao. Tangu mwaka 2005 chuo hicho kimeshatoa walimu 3,884 wenye Shahada ya Kwanza.