Tuesday, November 15, 2011

MVUA YALETA DHAHAMA UWANJA WA NDEGE MWANZA

Ndege ya Shirika la PrecisionAir ikiwa katika maji katika uwanja wa Ndege wa Mwanza ambao ulijaa maji baada ya mvua kubwa kunyesha jana (Jumatatu).
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika uwanja wa Ndege wa Mwanza hiyo jana (Jumatatu) baada ya mvua kuleta dhahama. 
Uwanja wa Ndege wa Mwanza ukiwa umejaa maji baada ya mvua kubwa kunyesha. Uwanja huo ulifungwa kwa takriban saa sita. Kiasi cha Abiria wapatao 200 waliathirika na hali hiyo. Picha/ RAY NALUYAGA

No comments: