Tuesday, November 15, 2011

ZOEZI LA KUONDOA KWA NGUVU WAKAZI ENEO LA MAKAO, WILAYANI MEATU, SHINYANGA


Moja kati ya familia zilizoondolewa kwa nguvu katika eneo la hifadhi (Wildlife Management Area) lililopo eneo la Makao Wilayani Meatu Mkoani Shinyanga. Eneo hilo hutumika kwa shughuli za kitalii na uwindaji. 
Moja ya nyumba zinazodaiwa kuchomwa moto katika zoezi la kuondoa kwa nguvu wakazi katika eneo hilo. Takriban kaya 625 zinadaiwa kuishi katika eneo hilo. Picha / Zulfa Mfinanga

No comments: