Kwa Ufupi... kijana huyo alisonga hadi kambini Makutupora ambapo alipofika kwa geti alimtonya ofisa incharge kwa geti kuwa yeye ni mwana wa JK na kwamba amekuja ili kujiunga na mafunzo ya awali ya JKT kwa kambi hiyo kwani hata CDF anahabari zake.
Sajent aliyekuwepo kwa zamu hapo kwa geti alipata mashaka kidogo akawasiliana na makamanda wake ambao nao waliwasiliana na hedikotaz kupata uhakika, na huko wakawasiliana na wale jamaa wenye jengo lenye kuta nyeupe pembezoni mwa bahari ya hindi kama unaenda vile kwa kushoto.
Jamaa walipowasiliana na mzee mwenzangu ikawa sivyo hivyo, ikabainika kuwa mshkaji anafunga kamba.... hapo ndo soo likaanza na jamaa kufunguliwa chajez.......
No comments:
Post a Comment