 Mambo ya bajaj mayai.... wadosi wajaribu kukimbizana na soko.....!!!
Mambo ya bajaj mayai.... wadosi wajaribu kukimbizana na soko.....!!! Ila kwa wale wenzatu wa saridalama......ambao usafiri huu a babaj husaidia sana katika maeneo fulani fulan na hususan kutokana na unafuu wa gharama zake.... sijui zikija za namna hii nauli yake itapanda au....?
Ila kwa wale wenzatu wa saridalama......ambao usafiri huu a babaj husaidia sana katika maeneo fulani fulan na hususan kutokana na unafuu wa gharama zake.... sijui zikija za namna hii nauli yake itapanda au....? 
No comments:
Post a Comment