Wednesday, July 1, 2009

Polisi wakamata SMG


Ofisa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoani Dodoma (RCO) akionyesha bunduki aina ya SMG yenye nambari NM 181739 iliyokamatwa toka kwa majambazi mjini Dodoma ikiwa na risasi 21. Watu kadhaa wanashikiliwa kuhusiana na matukio hayo ya uhalifu wa kutumia silaha mkoani humo.

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

nimepita kukusalimia ntarudi kutoa maoni.