Monday, February 8, 2010

Wabunge wa Uganda wakizimia Chuo Kikuu Dom

Baadhi ya wajumbe wa kamati ya bunge ya bajeti ya bunge la Uganda wakimsikiliza makamu mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma wakati walipotembelea chuo hicho hivi karibuni. Hapa wakiwa katika ka-tour kuzunguka chuo hicho kwa basi kwenye barabara ya jumla ya urefu wa kilometa 35 kuzunguka chuo hicho.
Makamu Mkuu wa UDOM akiwapa maelelezo wabunge hao ofisini kwake.

Waheshimiwa hawa kutoka Ugnada wamekubali juhudi hizo... walikuwa wakijiuliza mbona kwao wamelala mnoo.....

No comments: