Monday, May 24, 2010

Shule Girini eka yawaka moto

Baadhi ya wandugu wakiangalia majengo ya shule ya 'girini eka' yaliyochomeka.....
Hivi... hii hali inatokana na mgogoro ule wa wanafunzi na uongozi wa shule au ni viboko walivyochapwa madeni....? maswali mengi kuliko majibu...!!

1 comment:

Wedding Bells said...

hii tena kasheshe..... bora unatuhabarisha