Hukumu ya Liyumba
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania-BOT Amatus Liyumba akipanda basi la magereza tayari kuelekea lupango kutumikia hukumu ya miaka miwili jela baada ya mahakama ya hakimu mkazi kisutu kumpata na hatia ya kutumia vibaya madaraka yake.
Hapa wandugu, jamaa na marafiki wakisikitika baada ya hukumu .........
No comments:
Post a Comment