Monday, May 24, 2010

Hukumu ya Liyumba

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania-BOT Amatus Liyumba akipanda basi la magereza tayari kuelekea lupango kutumikia hukumu ya miaka miwili jela baada ya mahakama ya hakimu mkazi kisutu kumpata na hatia ya kutumia vibaya madaraka yake.
Hapa wandugu, jamaa na marafiki wakisikitika baada ya hukumu .........

Liyumba akishauriana na jopo la mawakili wa upande wa utetezi mara baada ya hukumu kutolewa......
Liyumba aki-'riakt' baada ya hukumu kutolewa.....

Hapa ni wakati alipowasili kisutu....... maphotoo kwa hisani ya wadau Fidelis Felix na Venance Nestory......

No comments: