Monday, May 24, 2010

Vifaru warejea bongo

Baadhi ya maafisa ya shirika la hifadhi za Taifa(TANAPA) na wawakilishi wa mashirika mbali mbali yasiyo ya kiserikali ambayo yanajihusisha na masuala ya uhifadhi, wakiwa wanapokea wanyama aina ya faru toka nchini Afrika ya kusini, jumla ya faru 6 kati ya 32 waliwasili mwishoni mwa wiki katika uwanja wa ndege wa Serengeti. Picha hii kwa hisani ya mdau Mussa Juma

No comments: