Thursday, January 29, 2009

The Citizen inatisha.....

Wabunge wa kambi ya upinzani, Dr. Wilbrod Slaa na Zitto Kabwe(aliyekaa) wakipitia gazeti la The Citizen bungeni mjini Dodoma..... nilipowauliza waheshimiwa hao kwa pembeni hawakusita kusema kuwa.... wao wapo chama makini hivyo kwanini wasipende kusoma gazeti makini.....?

No comments: