Thursday, January 29, 2009

Pinda afafanua kauli


Waziri Mkuu Mizengo Pinda amelieleza bunge mjini Dodoma kuwa kauli yake aliyoitoa mikoa ya kanda ya ziwa hakumaanisha tafsiri iliyochukuliwa na wengi ya kujichukulia sheria mkononi bali alikuwa na lengo la kufikisha ujumbe kwa wauaji wa albino kuwa serikali imedhamiria kupambana nao.

No comments: