
Waziri Mkuu alikaririwa na akiagiza kuwa watu wanaokamatwa wakiua albino nao wauawe papohao.
Kambi hiyo imesema iwapo kiongozi huyo wa serikali bungeni atashindwa kufanya hivyo, itailazimu kambi hiyo kushinikisha ajiuzulu. Hata hivyo, kambi hiyo haikueleza ni njia gani haswa zitatumika kushinikiza suala hilo.
No comments:
Post a Comment