Wednesday, July 1, 2009

Azaki bungeni maonesho

Meneja Habari wa umoja wa mashirika yasiyo ya kiserikali (TANGO) Zaa Twalangeti (kulia) akitoa maalezo wa baadhi ya watu waliotembelea banda ya asasi hiyo wakati wa maonesho ya asasi za kiraia katika viwanja vya bunge mjini Dodoma.

No comments: