Wednesday, July 1, 2009

Maisha plus watinga bungeni

Mshindi wa shindano la onesho la luninga la Maisha Plus Abdul (kulia) akiwa na watayarishaji wa shindano hilo wakifurahia jambo na Naibu waziri wa Fedha Omar Yusuf Mzee (kushoto) wakati walipotembelea bungeni mjini Dodoma jana. Katikati ni Mbunge wa Mchinga Mudhihir Mudhihir.

No comments: