Wednesday, July 1, 2009

Mbilia alivyoiwapagawisha waheshimiwa

MbiliaBel akionesha mauno alipotumbuiza waheshimiwa katika viwanja vya jengoni mwao mjini idodomya.
Hapa akiweka madoido katika wimbno wake mpya 'mobali ya bebe'

Hapa akicheza na waheshimiwa wakati wa onesho hilo......

Spika naye yumoo.....!! hapa ni baada ya kuombwa na mbilia kupanda kwa stage....

No comments: