Wednesday, May 26, 2010

Hii ngoma itakuwa kama ya Liyumba au..????

Watuhumiwa wa kesi ya matumizi mabaya ya madaraka katika Serikali ya awamu ya tatu,kutoka kushoto Basil Mramba, Daniel Yona na Grey Mgonja, wakijadili jambo wakati wakiwa katika chumba cha Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam Jumanne wiki hii, wakisubiri kusikilizwa kwa kesi yao.Picha kwa hisani ya Michael Matemanga

No comments: