Wednesday, May 26, 2010

JK ahutubia bunge Afrika Mashariki

Mwenyekiti wa jumuiya Ya Afrika Mashariki, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilihutubia bunge la jumuiya hiyo jijini Nairobi Jumanne wiki hii.Kushoto ni Spika wa bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Mheshimiwa Abdirahin Abdi.
Rais Jakaya Kikwete (Katikati) akiwa na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Abdirahin Abdi (kushoto) pamoja na Spika wa Bunge la Kenya Kenneth Marende(kulia) wakiwa katika viwanja vya Bunge la Kenya Muda mfupi baada ya Rais Kikwete kuwasili na kupigiwa wimbo wa taifa.

Rais Mwai Kibaki wa Kenya akimkaribisha Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Jakaya Kikwete, Ikulu jijini Nairobi jJumanne wiki hii kwa mazungumzo mafupi muda mfupi kabla ya Rais Kikwete kulihutubia bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki. Picha zote kwa hisani ya Ikulu

No comments: