Wednesday, May 26, 2010

Sheria Mkononi......

(PICHANI CHINI) Askari wa kikosi maalum cha polisi cha (Anti-Robbery) kwa kiswanglish…(Shangazi Jambazi) mkoani Morogoro akimsikitikia kijana (aliyelala chini) baada ya wananchi wenye hasira kumpa kichapo kikali kwa tuhuma za kuiba baiskeli katika mtaa wa Azimio kata ya Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro…....(PICHANI JUU) ..Hata hivyo kijana hiyo hatoweza kushughudia fainali za kombe la dunia mwezi ujao… kwani ndo keshaaga dunia…Hapo akipakizwa katika Londo la Polisi kuelekea mochwale….
Picha hizo kwa hisani ya mdau Juma Mtanda… unaweza kumcheki katika http:/jumamtanda.blogspot.com

No comments: