Wednesday, May 26, 2010

Vikundi vya uhamasishaji vyaanza ibuka ..uchaguzi huo waja...

Duuu.. kumbe hawa jamaa wanafani nyingi.......Katibu wa fedha na Uchumi wa CCM Taifa, Amos Makala akitwanga drums ambazo ni moja kati ya vyombo vya muziki vyenye thamni ya Sh10.2 milioni alivyowakabidhi kwa kikundi cha burudani na uhamasishaji cha ‘Sultani Dot Com’ kilichopo kata ya Sultani, manispaa ya Morogoro, Picha kwa hisani ya Samuel Msuya.

No comments: