Vikundi vya uhamasishaji vyaanza ibuka ..uchaguzi huo waja...
 Duuu.. kumbe hawa jamaa wanafani nyingi.......Katibu wa fedha na Uchumi wa CCM Taifa, Amos Makala akitwanga drums ambazo ni moja kati ya vyombo vya muziki vyenye thamni ya Sh10.2 milioni alivyowakabidhi kwa kikundi cha burudani na uhamasishaji cha ‘Sultani Dot Com’ kilichopo kata ya Sultani, manispaa ya Morogoro, Picha  kwa hisani ya Samuel Msuya.
 Duuu.. kumbe hawa jamaa wanafani nyingi.......Katibu wa fedha na Uchumi wa CCM Taifa, Amos Makala akitwanga drums ambazo ni moja kati ya vyombo vya muziki vyenye thamni ya Sh10.2 milioni alivyowakabidhi kwa kikundi cha burudani na uhamasishaji cha ‘Sultani Dot Com’ kilichopo kata ya Sultani, manispaa ya Morogoro, Picha  kwa hisani ya Samuel Msuya.
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment