Saturday, January 3, 2009

Hizi ngoma zilipigwa live... bila chenga....!!!!

Mjeda akikusanya njugu zilizotawanyika baada ya kutoka katika binduki....!!!
ziliwakuwa nyingi...... ila ushahidi lazima uishe.......usibaki ata chembe!!!
Hili la machozi halikulipuka....... watanganyika wakaliokota....!!!!
Mengine yaliyolipuka haya hapa.........!!!

No comments: