Saturday, January 3, 2009

Mambo ya Kumnadi...... Msalaatoooo...!!!!

jamaa akiweka vyema zagazaga mahususi... kwa mtafuno... maeneo ya kumnadi jirani tu kwa kwa mzee wa sumo... msalaatooo nje kidogo ya dom manisipo...... huko ni maarufu sana kwa bia choma na nyama.... kwa bei nafuuu...!!! kilo buku 4 tu....!!!
ila kinachowaliza hawa jamaa zangu ni kwamba machinjio holela kama ya huko kwenye kumnadi yamepigwa marufuku...kutokana na hijenik poposez...... sasa kuwalazimu wachinje katika machinjo ya kisasa yaliyopo kizootaa...!! wenzangu na mimi wasio na ubovu wa meno wanatia shaka juu ya kupanda kwa nauli ya nyama...... itakuwa sasa ikiuzwa zaidi ya buku 4 za sasa... yetu majicho wacha tusubiri tuone......

No comments: