Saturday, January 3, 2009

Vichwa TRL kweli vimechoka....!!!! Kumbe ndo maana enz za mwl waliitaga gari moshi...!!!

Injini ya treni ikitoka stesheni ya dom njiani kuelekea bara..... kilichonivutia ni hali ya utoaji moshi mwingi mno..... hii ni moja kati ya uchafuzi wa hali ya hewa........!!!

1 comment:

Anonymous said...

Kweli uchafuzi wa hewa namna hii tutapona kweli? watu wakikohoa wanasema ohoo kaudaka kumbe matatizo ya nchi masikini