Saturday, January 3, 2009

MAJUKUMU HAYA YA KIFAMILIA ADI NGOMANI....?!!!!

Hebu nishkie mwanangu.... mie nikacheze ngoma....!!!
Ebana kumbe unakatika kichizi.....!!!!
Hebu acheni utani..... hawa wana mtakaanao tu.... hadi tumalize kucheza ngoma....!!!
Ebana mzee mwezangu hawa wanawake ngangari kichizi.... ila poa tu.....kubeba mtoto kwa nini!!!

No comments: