Mfanyabiashara ndogondogo akiuza ndizi katika eneo linalokatazwa kandokando ya barabara ya kuelekea hospitali kuu ya Mkoa wa Dodoma. Lakini kwa nyuma askari nao wakipita na hamsini zao, ingawa bango linalokataza biashara limeandikwa kuwa na amri halali..... Hapo sasa....
Thursday, December 31, 2009
Monday, December 14, 2009
Usafiri Wilayani....
Sunday, December 13, 2009
Ndani ya Dom: Str8Muzik Festival:InterCollege Special 2009
Str8Muzik Festival;Intercollege Special 2009
Sunday, October 18, 2009
Moh Trans yapata ajali
Tuesday, October 13, 2009
Mwanamke Anayetoa Machozi ya Damu Kila Anapolia
 Rashida Khatoon Sunday, April 19, 2009 4:12 AM
Rashida Khatoon Sunday, April 19, 2009 4:12 AMMwanamke mmoja nchini India amejipatia umaarufu na kuwa gumzo nchi nzima kutokana na hali yake ya kutoa machozi ya damu kila anapolia. Rashida Khatoon mkazi wa mji mmoja kaskazini mwa India, amewashangaza hata madaktari kwa hali yake hiyo ya kutiririka machozi ya damu kila anapolia.
Kwa siku mwanamke huyo humwaga chozi la damu mara kadhaa.
"Sisikii maumivu yoyote, badala ya machozi ya kawaida, damu zinapotitirika ni kitu cha kushangaza" alisema mwanamke huyo ambaye amekuwa gumzo sana nchini India.
Viongozi wa dini wa India wanadai kwamba mwanamke huyo ni miujiza toka mungu.
Kutokana na umaarufu mkubwa aliojizolea mamia ya watu wamekuwa wakimiminika nyumbani kwa mwanamke huyo kujishuhudia wenyewe kwa macho yao.
Wageni hao wamekuwa wakimmiminia mwanamke huyo na familia yake zawadi kadhaa kila wanapomtembelea nyumbani kwake.
http://www.nifahami
Friday, August 28, 2009
Uzembe mwingine bwana... wee wacha tu...!!!
Thursday, August 27, 2009
Mavituz ya Traffic police huyu.. balaa...!!
Download uone mavitu ya huyu traffic akiongoza magari.....kama angelikuwa bongo.. sidhani kama angelikuwepo hai.....!!!!
Mjihadhari na watu msiowajua mkiwa safarini...!!!
Wednesday, August 26, 2009
Je hii ni mikogo au taabu ya usafiri...?
Tuesday, August 25, 2009
Cycle For Understanding mission....
Vibuyu
Sakata la majambazi Dodoma
 Majeruhi aliyetwangwa na kitu kizito kichwani na majambazi wapatao sita ambao baada ya kuteka magari matatu likiwemo basi la abiria, walitoroka kwa kutumia gari ya majeruhi huyo. Kwa mujibu wa Polisi, majambazi hayo yaliuawa na wananchi wenye hasira.
 Majeruhi aliyetwangwa na kitu kizito kichwani na majambazi wapatao sita ambao baada ya kuteka magari matatu likiwemo basi la abiria, walitoroka kwa kutumia gari ya majeruhi huyo. Kwa mujibu wa Polisi, majambazi hayo yaliuawa na wananchi wenye hasira.Monday, August 24, 2009
Uzazi wa Mpango
 Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dkt. Julius Kivelia akiwasilisha mada wakati wa mdahalo wa wazi juu ya masuala ya uzazi wa mpango ulioandaliwa na Engender Health na kufadhiliwa na shirika la USAID mjini Dodoma. Huyu Mtaalam anasema kuwa kasi ya ongezeko la Idadi ya Watu nchini Tanzania ni kubwa mno ijapokuwa ukimwi unaendelea kupunguza watu wengi... na kwamba itaongezeka na kufikia watu millioni 90 katika miaka ya 2035 ikiwa hatua madhubuti za uzazi wa mpango hazitachukuliwa.
 Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dkt. Julius Kivelia akiwasilisha mada wakati wa mdahalo wa wazi juu ya masuala ya uzazi wa mpango ulioandaliwa na Engender Health na kufadhiliwa na shirika la USAID mjini Dodoma. Huyu Mtaalam anasema kuwa kasi ya ongezeko la Idadi ya Watu nchini Tanzania ni kubwa mno ijapokuwa ukimwi unaendelea kupunguza watu wengi... na kwamba itaongezeka na kufikia watu millioni 90 katika miaka ya 2035 ikiwa hatua madhubuti za uzazi wa mpango hazitachukuliwa.
Nyama choma
Kobe mzee
Hongera
Wednesday, July 1, 2009
Polisi wakamata SMG
Chizi atinga eneo la bunge
Azaki bungeni maonesho
Mbilia alivyoiwapagawisha waheshimiwa
Maisha plus watinga bungeni
Friday, June 5, 2009
Friday, May 22, 2009
Mwakyembe kanusurika Mzinga wa namna hii...!!!
Thursday, May 21, 2009
Majambazi Dom wala Sh80
Subscribe to:
Comments (Atom)










