Mfanyabiashara ndogondogo akiuza ndizi katika eneo linalokatazwa kandokando ya barabara ya kuelekea hospitali kuu ya Mkoa wa Dodoma. Lakini kwa nyuma askari nao wakipita na hamsini zao, ingawa bango linalokataza biashara limeandikwa kuwa na amri halali..... Hapo sasa....
Thursday, December 31, 2009
Monday, December 14, 2009
Usafiri Wilayani....
Sunday, December 13, 2009
Ndani ya Dom: Str8Muzik Festival:InterCollege Special 2009
Str8Muzik Festival;Intercollege Special 2009
Sunday, October 18, 2009
Moh Trans yapata ajali
Tuesday, October 13, 2009
Mwanamke Anayetoa Machozi ya Damu Kila Anapolia

Mwanamke mmoja nchini India amejipatia umaarufu na kuwa gumzo nchi nzima kutokana na hali yake ya kutoa machozi ya damu kila anapolia. Rashida Khatoon mkazi wa mji mmoja kaskazini mwa India, amewashangaza hata madaktari kwa hali yake hiyo ya kutiririka machozi ya damu kila anapolia.
Kwa siku mwanamke huyo humwaga chozi la damu mara kadhaa.
"Sisikii maumivu yoyote, badala ya machozi ya kawaida, damu zinapotitirika ni kitu cha kushangaza" alisema mwanamke huyo ambaye amekuwa gumzo sana nchini India.
Viongozi wa dini wa India wanadai kwamba mwanamke huyo ni miujiza toka mungu.
Kutokana na umaarufu mkubwa aliojizolea mamia ya watu wamekuwa wakimiminika nyumbani kwa mwanamke huyo kujishuhudia wenyewe kwa macho yao.
Wageni hao wamekuwa wakimmiminia mwanamke huyo na familia yake zawadi kadhaa kila wanapomtembelea nyumbani kwake.
http://www.nifahami
Friday, August 28, 2009
Uzembe mwingine bwana... wee wacha tu...!!!
Thursday, August 27, 2009
Mavituz ya Traffic police huyu.. balaa...!!
Download uone mavitu ya huyu traffic akiongoza magari.....kama angelikuwa bongo.. sidhani kama angelikuwepo hai.....!!!!
Mjihadhari na watu msiowajua mkiwa safarini...!!!
Wednesday, August 26, 2009
Je hii ni mikogo au taabu ya usafiri...?
Tuesday, August 25, 2009
Cycle For Understanding mission....
Vibuyu
Sakata la majambazi Dodoma

Monday, August 24, 2009
Uzazi wa Mpango

Nyama choma
Kobe mzee
Hongera
Wednesday, July 1, 2009
Polisi wakamata SMG
Chizi atinga eneo la bunge
Azaki bungeni maonesho
Mbilia alivyoiwapagawisha waheshimiwa
Maisha plus watinga bungeni
Friday, June 5, 2009
Friday, May 22, 2009
Mwakyembe kanusurika Mzinga wa namna hii...!!!
Thursday, May 21, 2009
Majambazi Dom wala Sh80
Subscribe to:
Posts (Atom)